Mfano wa mjenzi mwenye busara na mjinga: Mvua ikanyesha, mafuriko yakaja, pepo zikavuma, zikaipiga nyumba ile; wala haikuanguka, kwa maana misingi yake imewekwa juu ya mwamba. Kila asikiaye hayo maneno yangu asiyafanye, atafananishwa na mtu mpumbavu, aliyejenga nyumba yake juu ya mchanga. Mathayo…